Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Saturday, September 16, 2017

MTIBWA SUGAR YAJIIMARISHA KILELENI MWA LIGI KUU

Mtibwa Sugar iliifunga 2-1 Mbao FC kwenye Uwanja wa Manungu Turiani huku Prisons ikitoka Suluhu dhidi ya Ndanda FC, Lipuli nayo ikishindwa kutamba kwa Ruvu Shooting baada ya kulazimishwa sare ya bila kufungana na Singida ilishinda 1-0 dhidi ya Stand United.

No comments:

Post a Comment