Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Monday, August 7, 2017

HARUNA NIYONZIMA AANZA MAZOEZI SIMBA LEO


 
KIUNGO Mmshambuliaji mpya wa Simba, Haruna Niyonzima ameanza mazoezi rasmi na kikosi hicho katika Uwanja wa Boko Veterani, Dar es Salaam.
Niyonzima aliwasili nchini jana usiku na asubuhi kujumuika na wenzake katika mazoezi kwa ajili ya mchezo wa Simba day dhidi ya Rayon ambayo inatarajiwa kufanyika kesho katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam
Akizungumza na gazeti hili Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Habari wa klabu hiyo, Haji Manara alisema Niyonzima, Emmanuel Okwi na Nicholas Gyan wanatarajiwa kutambulishwa pamoja na wachezaji wenzake.




No comments:

Post a Comment