Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Sunday, February 26, 2017

WASIKIE MASTAA WANACHOSEMA BAADA YA SIMBA KUIFUNGA YANGA 2-1


Hakuna ubishi kwamba mechi ya Simba na Yanga inawaleta pamoja watu wa kada mbalimbali bila kujali vyama vyao vya siasa, dini, kabila wala rangi zao, wadau wa mchezo wa soka hujumuika kwa pamoja kushuhudia game hiyo maarufu zaidi kwenye mchezo wa soka Tanzania huku kila mmoja akiwa katika upande wake wa ushabiki.
Mechi ya Simba vs Yanga iliyochezwa Februaey 25, 2017 iliwaleta pamoja watu wengi pale uwanjani kuanzia wanasiasa, mastaa wa muziki wa Bongofleva, Bongo Movies na wengine kibao ambao ni wana majina makubwa Bongo.
Baada ya mechi hiyo kama ilivyo kawaida katika kizazi hiki cha digital, kila mtu akaonesha hisia zake kwenye mitandao ya kijamii hususan Instagram. Shaffihdauda.co.tz imefanikiwa kupata posts kadhaa za mastaa mbalimbali hapa Bongo wakitoa hisia zao kufatia ushindi wa Simba 2-1 Yanga huku wengine wakitupia post nyingine kutokana na namna tu game hiyo ilivyowakutanisha pamoja.
Haji S. Manara – Afisa habari Simba SC

Professor Jay – Mbunge/Msanii wa Bongofleva 

Ommy Dimpoz – Msanii Bongofleva

Jerry Muro – Afisa habari Yanga (amefungiwa) 

Mwana FA – Mwanamuziki Bongofleva 

Ridhiwani Kikwete – Mbunge

Mwigulu Nchemba – Waziri

Zitto Kabwe – Mbunge

Lulu – Mwigizaji Bongo Movies

Afande Sele – Mwanamuziki Bongofleva 

No comments:

Post a Comment