Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Tuesday, November 29, 2016

LIVERPOOL NA LEEDS UNITED ROBO FAINALI EFL CUP LEO


EFL CUP
Robo Fainali
RATIBA
Jumanne Novemba 29

2245 Hull City v Newcastle United
2245 Liverpool v Leeds United
Mechi za Robo Fainali ya EFL CUP, Kombe la Ligi la England, zinaanza Leo hii kwa Mechi mbili kwenye Viwanja Viwili tofauti.
Huko Anfield Liverpoool watacheza na Timu ya Daraja la chini Leeds United wakati huko Kingston Communications Stadium ni Hull City na Timu ya Daraja la chini la Championship Newcastle United.

Liverpool wataingia kwenye Mechi hii wakiwakosa Nyota wao kadhaa ambao ni Majeruhi na ambao ni Phlippe Coutinho, Daniel Sturridge na Adam Lallana.                     
Hata hivyo Meneja wa Liverpool Jurgen Klopp amethibitisha mbali ya Golini kumweka Kipa Simon Mignolet badala ya Nambari Wake Loris Karius hatafanya mabadiliko yeyote kwani amekiri Leeds ni tishio.
Leeds, chini ya Meneja Garry Monk, wapo Nafasi ya 5 kwenye Championship na Timu ambayo kwenye Miaka ya nyuma ilitikisa Vigogo wa England.




EFL CUP
Robo Fainali
Ratiba
Jumatano Novemba 30

2245 Arsenal v Southampton
2300 Manchester United v West Ham United

EFL CUP
Matokeo:
Raundi ya 4
Jumanne Oktoba 25    
                                   
Arsenal 2 Reading 0
Bristol City 1 Hull 2
Leeds 1 Norwich 1 [2-2 baada Dakika 120, Leeds Penati 3-2]
Liverpool 2 Tottenham 1
Newcastle 6 Preston 0

Jumatano Oktoba 26
Southampton 1 Sunderland 0
West Ham 2 Chelsea 1
Man United 1 Man City 0

No comments:

Post a Comment