Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Monday, February 1, 2016

PEP KUTUA MANCHESTER CITY, ARSENAL, MAN UNITED NA CHELSEA ZADUWAA


Mhispania Pep Guardiola ametia saini mkataba wa miaka mitatu kuwa meneja mpya wa Manchester City baada ya msimu huu kumalizika.
Guardiola, atachukua majukumu hayo kuanzia Julai, klabu hiyo ya Ligi ya Premia imetangaza.
Manuel Pellegrini ataondoka klabu hiyo Juni 30 baada ya kumalizika kwa msimu wa sasa.
"Kutokana na heshima yetu kwa Manuel Pellegrini na wachezaji, klabu ingependa kufanya wazi uamuzi wake ili kuondoa nafasi ya uvumi,” City wamesema kupitia taarifa kwenye tovuti yao.

Manchester City imekamilisha majadiliano na Pep Guardiola na sasa imeshatia sahihi kandarasi na kocha huyo kuchukua hatamu msimu ujao wa 2016/17
Manchester City
"Manuel, ambaye anaunga mkono kikamilifu uamuzi wa kufanya tangazo hili, anaangazia kutimiza malengo yake ya msimu huu na anadumisha kujitolea na heshima ambayo amekuwa nayo machoni ma wote wanaohusika katika uongozi wa klabu.”


He has won the Champions League, the big prize that has so far evaded cash-rich Manchester City

Guardiola is held aloft at Wembley by his Barcelona players - similar scenes could be coming to Manchester

The Bayern Munich manager poses with the Bundesliga trophy after winning the title again last season

Guardiola has chosen Manchester City as his next club after his success at Barcelona and Bayern Munich

Guardiola goes to City and it is his chance to build an empire after his trophy-laden spells elsewhere

Guardiola will be City's trailblazer if he continues to win big as he has with Barcelona and Bayern Munich

City could even end up building a statue of their new manager if he establishes them as a dominant force

No comments:

Post a Comment