![](https://metrouk2.files.wordpress.com/2015/08/arsenal-v-vfl-wolfsburg-emirates-cup3-e1439423068943.jpg?w=748&h=400&crop=1)
Wilshere, mwenye Umri wa Miaka 23, aliumia Enka ambayo ilipata ufa kwenye mfupa wake Mazoezini hapo Agosti 1 na ilidhaniwa atakuwa nje kwa kipindi cha hadi Miezi Miwili.
Lakini Wenger amesisitiza wao walitegemea atapona ndani ya Wiki 4 na kwa sasa mambo yako sawa.
Akiongea na Wanahabari kabla Arsenal kucheza Ugenini na Crystal Palace hapo Jumapili kwenye Mechi yao ya pili Ligi Kuu England baada ya kuchapwa 2-0 katika Mechi yao ya kwanza na West Ham, Wenger amesema: “Tulisema Jack atakuwa nje kwa Wiki 4 na sasa ni Wiki ya pili.”
![](http://www.arsenal.com/assets/_files/scaled/1000x563/aug_14/gun__1407751407_rosicky_trains1.jpg)
No comments:
Post a Comment