Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Wednesday, October 1, 2014

NEMANJA MATIC AITAKATISHABLUES UGENINI BAADA YA USHINDI WA 1-0 DHIDI YA SPORTING LISBON KWENYE UEFA CHAMPIONS LEAGUE



Nemanja Matic ndiye aliyewapa Ushindi Chelsea Usiku huu wa bao 1-0 dhidi ya Sporting Lisbon. Ushindi huu pia umewapaisha hadi kileleni kwenye kundi lao Chelsea wakiwa na pointi 4.Dakika ya 34 kipindi cha kwanza Nemanja Matić anaipachikia bao la kwanza Chelsea baada ya kupata mpira kutoka kwa Cesc Fàbregas.Meneja Jose akiwa na Nemanja 

No comments:

Post a Comment