Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Thursday, August 14, 2014

KOLO TOURE AGOMA KUELEKEA UTURUKI


Mlinzi wa kimataifa wa Ivory Coast Kolo Toure, anasema haondoki Liverpool ng'o
Mlinzi wa kimataifa wa Ivory Coast Kolo Toure amepiga chini mpango wa kuelekea nchini Uturuki na kutangaza nia yake ya kuendelea kusalia Liverpool.
Mlinzi huyo wa kati aliwasili Anfield mwaka uliopita akitokea Manchester City na taarifa za tetesi za hivi karibu zikisema huenda angeondoka klabu hapo tangu kusajili kwa Dejan Lovren kwa ada ya pauni milioni £20 akitokea Southampton.
Toure hakuwa na msimu  uliopita kufuatia kufanya makosa kadhaa mzurikatika michezo dhidi ya Hull City, West Brom na Fulham.
Baadhi ya mashabiki wamekuwa wakimlaumu kwa aina ya ulinzi wake.

No comments:

Post a Comment