

Mchezo huu utakuwa ni mgumu kwa Mabingwa hao wa England ambao wanatakiwa kupindua kipigo cha Bao 2-1 walichopewa na Sunderland ambayo tangu impate Meneja mpya Gus Poyet imejiimarisha kwa kutofungwa katika Mechi 4 na Juzi ilitoka nyuma kwa Bao 2-0 na kupata Sare ya Bao 2-2 na Southampton.





VIKOSI VINATARAJIWA KUWA HIVI:
Man United (from): De Gea, Lindegaard, Rafael, Smalling, Evans, Jones, Evra, Fabio, Valencia, Fletcher, Giggs, Cleverley, Carrick, Januzaj, Young, Kagawa, Hernandez, Welbeck.
Sunderland (from): Ustari, Mannone, Pickford, Celustka, Dossena, Alonso, Bardsley, O'Shea, Brown, Diakite, Roberge, Cattermole, Cabral, Gardner, Ki, Giaccherini, Johnson, Larsson, Ba, Karlsson, Mavrias, Colback, Fletcher, Altidore, Borini.
KUMBUKA:
-Katika Nusu Fainali 3 zilizopita, Man United walikuwa nyuma au Sare baada ya Mechi ya Kwanza, kwenye Miaka ya 2006, 2009 na 2010, lakini katika hizo zote walishinda Mechi ya Marudiano na kutinga Fainali na kutwaa Kombe!
No comments:
Post a Comment