![Touch down: Gareth Bale arrives at Heathrow Airport from Hong Kong in the early hours](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2013/07/29/article-2380429-1B0C41CC000005DC-647_634x956.jpg)
![Nothing to smile about: Bale, who may be subject of a world record £85m bid from Real Madrid, clearly has a lot on his mind](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2013/07/29/article-2380429-1B0C4A41000005DC-497_634x771.jpg)
Bale anatarajiwa alipiwe £85m na Real Madrid kitu
ambacho kitakuwa ni Historia ya Dunia kwa Kwa kuuzwa kiasi hicho
kikubwa.Inasemekana pia Spurs wanataka kuongezewa wachezaji wawili tena pamoja
na dau hilo nono ambalo litaweka Historia.
![On his way? Gareth bale is set for talks with Spurs over a world record £85million move to Real Madrid](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2013/07/28/article-2380429-1AD7EF62000005DC-258_634x547.jpg)
Gareth Bale pia anatarajiwa kuongea na Klabu yake kuhusu uhamisho huo wa £85million kwenda kwenye Klabu ya Real Madrid
![Touchline: Tottenham manager Andre Villas-Boas is desperate to keep hold of his key man](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2013/07/28/article-2380429-1B0488B6000005DC-674_634x463.jpg)
No comments:
Post a Comment