Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Wednesday, July 31, 2013

GARETH BALE HUENDA AKAVUNJA REKODI YENYE THAMANI ZAIDI YA CRISTIANO RONALDO NA MESSI


Touch down: Gareth Bale arrives at Heathrow Airport from Hong Kong in the early hoursTottenham Hotspur ya England imegoma kumuuza winga wake Gareth Bale kwenda Real Madrid pamoja na kupewa ya uhamisho utakaoweza kuvunja rekodi ya dunia £82million. Inasemekana Spurs kupitia mwenyekiti wake Daniel Levy wanataka walipwe kiasi hicho cha pesa pamoja na wachezaji wawili wa Real Madrid Fabio Coentrao na Angel Di Maria ambao wote kwa pamoja wana thamani ya £45m, hivyo kufanya thamani ya dili la Bale kwa jumla kuwa £126 million ambazo ni fedha nyingi sana kuliko zile alizonunuliwa Cristiano Ronaldo kutoka Manchester United £80m.
Nothing to smile about: Bale, who may be subject of a world record £85m bid from Real Madrid, clearly has a lot on his mind
Bale anatarajiwa alipiwe £85m na Real Madrid kitu ambacho kitakuwa ni Historia ya Dunia kwa Kwa kuuzwa kiasi hicho kikubwa.Inasemekana pia Spurs wanataka kuongezewa wachezaji wawili tena pamoja na dau hilo nono ambalo litaweka Historia.
On his way? Gareth bale is set for talks with Spurs over a world record £85million move to Real Madrid
Gareth Bale pia anatarajiwa kuongea na Klabu yake kuhusu uhamisho huo wa £85million kwenda kwenye Klabu ya Real Madrid
Touchline: Tottenham manager Andre Villas-Boas is desperate to keep hold of his key man 

No comments:

Post a Comment