


Kwa mara nyingine tena, Maracana itachezwa Fainali ya Kombe la Dunia hapo Mwaka 2014 wakati Brazil watakapokuwa Wenyeji na Uwanja huo utachukua Washabiki 78,838 wote wakiwa wamekaa Vitini.

Mara ya mwisho kwa England kucheza Maracana ilikuwa ni Mwaka 1984 walipocheza Mechi ya Kirafiki na kuifunga Brazil Bao 2-0.


Oxlade-Chamberlain akiangalia mpira wake alioupiga kwa
chini ukiingia nyavuni taratibu

Fred akishangilia baada ya kutupia

Neymar akikimbia na mpira huku akiwa anataka kumtoka Glen Johnson, kushoto, na akikwepa kupitia kwa Theo Walcott upande wa kulia

Wayne Rooney akichuana na Thiago Silva

Mchezaji wa England Frank Lampard akipiga mpira

Theo Walcott akipaa na huku akikimbizwa na Hulk

Wachezaji wa England wakizuia ngome kwa kuweka ukuta kuziba shuti la free kiki inayopigwa na Neymar

kipa wa England na Man City Joe Hart akiokoa mpira kutoka kwa Filipe Luis kwa mikono

Theo Walcott akimkaba Filipeusiku huu.
-England
Hart, Johnson
(Oxlade-Chamberlain 61), Cahill, Jagielka, Baines (Cole 31) Walcott (Rodwell 83)
, Jones, Carrick, Lampard (captain) Milner, Rooney.
Subs: Foster, Lescott, Defoe, McCarthy
Goals: Oxlade-Chamberlain (67), Rooney (78)
-Brazil
Julio Cesar, Dani Alves, Thiago Silva, Luiz, Filipe
(Marcelo 45), Luiz Gustavo (Hernanes 45), Paulinho (Bernard 83) Oscar (Lucas
Moura 56) Hulk (Fernando 72), Fred, Neymar.Subs: Foster, Lescott, Defoe, McCarthy
Goals: Oxlade-Chamberlain (67), Rooney (78)
-Brazil
Goals: Fred (57) Paulinho (82)
No comments:
Post a Comment