Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Saturday, December 22, 2012

YANGA YAILAZA KIJITONYAMA MABAO 4-0

YANGA SC jana imeitandika mabao 4-0 Kijitonyama Stars katika mchezo wa kirafiki kwenye Uwanja wa Kijitonyama, Dar es Salaam.
Mabao ya Yanga jana yalifungwa na George Banda matatu na Rehani Kibingu moja, ambao wote wamepandishwa kutoka timu ya vijana chini ya umri wa miaka 20.

No comments:

Post a Comment