Mayanga apangua kikosi, Aishi, Banda na wengine waanzia benchi
Kipa Aishi Manula, beki Abdi Banda, kiungo Yassin Mzamiru na Elias Maguri walioanza mechi iliyopita dhidi ya Zambia wamewekwa benchi.
Uamuzi huo umewapa nafasi kipa Said Mohamed, beki Nurdin Chona, kiungo Salmin Hoza, na mshambuliaji Stamil Mbonde kuanza mechi kwa mara ya kwanza.
kikosi: Said, Kapombe, Gadiel, Chona, Mbonde – Himid, Hoza, Raphael – Stamil, Msuva, Kichuya
Akiba:Aishi, Kessy, Tamimu, Mzamiru, Ulimwengu, Banda, Maguri

Post a Comment