WASIKIE MASTAA WANACHOSEMA BAADA YA SIMBA KUIFUNGA YANGA 2-1
Mechi ya Simba vs Yanga iliyochezwa Februaey 25, 2017 iliwaleta pamoja watu wengi pale uwanjani kuanzia wanasiasa, mastaa wa muziki wa Bongofleva, Bongo Movies na wengine kibao ambao ni wana majina makubwa Bongo.
Baada ya mechi hiyo kama ilivyo kawaida katika kizazi hiki cha digital, kila mtu akaonesha hisia zake kwenye mitandao ya kijamii hususan Instagram. Shaffihdauda.co.tz imefanikiwa kupata posts kadhaa za mastaa mbalimbali hapa Bongo wakitoa hisia zao kufatia ushindi wa Simba 2-1 Yanga huku wengine wakitupia post nyingine kutokana na namna tu game hiyo ilivyowakutanisha pamoja.
Haji S. Manara – Afisa habari Simba SC
Professor Jay – Mbunge/Msanii wa Bongofleva
Ommy Dimpoz – Msanii Bongofleva
Jerry Muro – Afisa habari Yanga (amefungiwa)
Mwana FA – Mwanamuziki Bongofleva
Ridhiwani Kikwete – Mbunge
Mwigulu Nchemba – Waziri
Zitto Kabwe – Mbunge
Lulu – Mwigizaji Bongo Movies
Afande Sele – Mwanamuziki Bongofleva
Post a Comment