Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Tuesday, January 26, 2016

VAN GAAL AONDOKA, WACHEZAJI WAAMBIWA HAKUNA KUFANYA MAZOEZI, VIKAO VYAFANYIKA

 
Habari za ndani zimedai Van Gaal alikutana na Woodward Jumapili na kisha kuruka kwenda kwao Netherlands kuhudhuria kile kilichoitwa Bethdei ya Binti wake wa Kike.

Habari za ndani zimedai Van Gaal alikutana na Woodward Jumapili na kisha kuruka kwenda kwao Netherlands kuhudhuria kile kilichoitwa Bethdei ya Binti wake wa Kike.
Lakini hali Klabuni hapo ni tete hasa kutokana na presha ya Mashabiki wa Klabu hiyo ambao Jumamosi walimzomea Van Gaal na kumtaka aondoke mara baada ya kufungwa 1-0 na Southampton Uwanjani Old Trafford.
Hicho kilikuwa kipigo chao cha 6 kwenye Ligi Kuu England Msimu huu na kimewatupa Nafasi ya 5 wakiwa Pointi 10 nyuma ya Vinara Leicester City na Pointi 5 nyuma ya Timu ya 4 ambayo ndiyo nafasi ya mwisho ya kucheza UEFA CHAMPIONS LIGI Msimu ujao.
Mbali ya kufungwa, Mashabiki wa Man United hawaridhishwi na staili ya uchezaji ya Van Gaal ambae msisitizo wake ni Difensi.
Huku Van Gaal akitarajiwa mwenyewe kubwaga manyaga badala ya kufukuzwa, zipo kila dalili Jose Mourinho huenda akachukua hatamu hasa baada ya kuvuja habari kuwa Mreno huyo aliandika Barua ya Kurasa 6 kwa Man United akielezea kufaa kwake kuongoza Timu hiyo.
Wakala wa Mourinho, Jorge Mendes, amekanusha kuwepo kwa Barua hiyo na kudai ni upuuzi lakini Waendesha Kamari huko Uingereza wemweka Mourinho kuwa ndie Meneja mpya wa Manchester United.
Chief: Ed Woodward has a good relationship with Van Gaal
Avram Glazer and Joel Glazer, Executive Co-Chairmen
Key men: Joel Glazer (left) and Avram Glazer (right) are key in the day-to-day running of the club

The remaining four Glazer children, Directors
Shareholder: Darcie Glazer Kassewitz, Malcolm Glazer's only daughter, owns a stake in the club
Richard Arnold, Group Managing Director
 The remaining four Glazer children, Directors
Shareholder: Darcie Glazer Kassewitz, Malcolm Glazer's only daughter, owns a stake in the club
Richard Arnold, Group Managing Director
Big player: Richard Arnold sealed multi-million pound sponsorship deals with Chevrolet and Adidas
Sir Alex Ferguson, Ambassador
  Legend: Ferguson spent 26 years in charge of United before standing down in 2013
Sir Bobby Charlton, Ambassador

Stalwart: Charlton played for United between 1956 and 1973, making 758 appearances
David Gill, Ambassador
Criticism: Gill admitted United have underachieved this season after the loss to Southamptom
 

No comments:

Post a Comment