Cabaye, mwenye Miaka 29, amesaini Mkataba wa Miaka Mitatu na ameshawahi kuchezea Ligi Kuu England akiwa na Newcastle ambayo aliihama Januari 2014 na kwenda PSG.
Lakini huko PSG alianza Mechi 13 tu kwani Meneja Laurent Blanc aliwapa kipau mbele Viungo Thiago Motta, Javier Pastore, Marco Verratti na Blaise Matuidi.
No comments:
Post a Comment