Jones alianza kuichezea Man United Mwaka 2011 na ameshacheza Mechi 128 na kutwaa Ubingwa wa Ligi Kuu England mara moja Mwaka 2013.
Nae Phil Jones ameeleza: "Nimefurahishwa kusaini dili mpya. Hii ni Klabu kubwa kushiriki nayo na naungoja kwa hamu Msimu mpya."
No comments:
Post a Comment