Baada ya Polisi kutoa Taarifa kuwa Mtu wa Miaka 27 alikamatwa kwa tuhuma za kufanya ngono na Binti wa chini ya Miaka 16, Magazeti mengi huko Uingereza yalimtuhumu Adam Johnson kuwa ndie Mtuhumiwa kwa kutenda kitendo hicho na Binti wa Miaka 15.
Jonhson, ambae ameichezea England mara 12, alikuwemo kwenye Kikosi cha Sunderland ambacho leo kinacheza na Hull City kwenye Mechi ya Ligi Kuu England lakini baadae aliondolewa na Klabu kutoa Taarifa kuwa amesimamishwa hadi uchunguzi wa Polisi ukamilike.
No comments:
Post a Comment