Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Sunday, February 16, 2014

MABONDIA WALIVYOONESHANA KAZI MWISHONI MWA WIKI

Bondia Twalibu Mchanjo (kulia) akimpiga mpinzani wake Eliya Ngozi, konde zito ambalo lilimpeleka mpaka sakafuni na kuhesabiwa hata hivyo alirudi ulingoni kupambana, Mchanjo alishinda kwa pointi
Bondia Twalibu Mchanjo (kulia) akimpiga mpinzani wake Eliya Ngozi, konde wakati wa mpambano wao uliofanyika Chanika mwishoni mwa wiki, Mchanjo alishinda kwa pointi

Bondia Twalibu Mchanjo(kulia) akiamuliwa na refarii Saidi Chaku aende kona nyeupe ili aendelee kumuhesabia mpinzani wake Eliya Ngozi, baada ya kumtandika konde na kuanguka chini

Bondia Twalibu Mchanjo

Bondia Twalibu Mchanjo aliyenyanyuliwa mikono juu kuashiria ushindi wake
Bondia Lulu Kayage (kushoto) akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Fadhila Adam wakati wa mpambano wao uliofasnyika wakati wa sikukuu ya wapendanao katika ukumbi wa Mpo Afrika Tandika Dervis Corner Dar es salaam

Bondia Lulu Kayage (kushoto) akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Fadhila Adam wakati wa mpambano wao uliofanyika wakati wa sikukuu ya wapendanao katika ukumbi wa Mpo Afrika Tandika Dervis Corner Dar es salaam, mpambano huo walitoka sare

Mabondia Adam Yahaya (kushoto) akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Mohamed Kikolekwa wakati wa mpambano wao uliofanyika Chanika mwishoni mwa wiki,Yahaya alishinda kwa pointi

Mabondia Mohamed Kikolekwa (kushoto) akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Adam Yahaya wakati wa mpambano wao uliofanyika Chanika kwa mama Rajabu mwishoni mwa wiki, Yahaya alishinda kwa pointi

Bondia Fadhili Awadhi (kushoto) akipambana na Mfaume Jumanne wakati wa pambano wao, Awadhi alishinda kwa KO ya raundi ya pili

Bondia Fadhili Awadhi akiwa amemgalagaza chini Mfaume jumanne

No comments:

Post a Comment