MKURUGENZI
wa michezo wa klabu ya Newcastle United Joe Kinnear amejiuzulu wadhifa
wake huo baada ya kuutumikia kwa kipindi cha nane. Kinnear mwenye umri
wa miaka 67 alikuwa ndio bosi wa kocha Alan Pardew kwenye masuala ya
utawala huku akitoa kwa mmiliki kuhusiana na masuala yote ya timu hiyo.
Newcastle ilishindwa kusajili mchezaji yoyote wakati timu ikiwa chini ya
Kinnear na Pardew amekataa kumuunga mkono kufuatia kipigo cha maba 3-0
walichopata kutoka kwa Sunderland Jumamosi iliyopita. Akihojiwa Pardew
amesema kama angepewa nafasi ya kusajili pengine mambo yangekuwa tofauti
lakini hakuwa na mamlaka hayo. aada
ya Newcastle kumuuza Yohan Cabaye kwenda Paris Saint-Germain kwa paundi
milioni 19, timu hiyo ilishindwa kutafuta mbadala wake katika siku
mbili za usajili wa dirisha dogo zilziobakia.
DIRA YA TAIFA YA 2050 KUIKIJANISHA TANZANIA
-
Mwanandishi wetu, Morogoro.
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhe. Mhandisi Hamad Masauni amesema
Usimamizi na uhifadhi wa mazingira hauwezi kufani...
Africa, Redefined: Mobila Safaris at Indaba 2026
-
The wait is over. Africa’s most iconic landscapes are calling, and we’re
here to hand you the keys.
*Mobila Safaris is officially live at Stand DEC...
KUMBUKIZI YA DARAJA LA NYERERE 2016-2026
-
Daraja la Nyerere lililozinduliwa na aliye kuwa Rais wa Tanzania John
Pombe Magufuli Aprili 19, 2016. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
Picha za Viongozi mba...
WASIRA AWATOLEA UVIVU WALIOANZA MBIO ZA URAIS
-
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Stephen
Wasira, Leo Machi 27, 2026, Mjini Bunda Mkoa wa Mara alipokuwa akiweka
jiwe la ms...
Post a Comment