Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Saturday, February 15, 2014

BALOTELLI AIOKOA AC MILAN DAKIKA ZA LALA SALAMA




Mario Balotelli  jana ameipa ushindi AC Milan baada ya kufunga bao la dakika za lala salama dhidi ya Bologna katika mchezo wa Serie A.
Balotelli alifunga bao lake hilo la 10 msimu huu kwa shuti la umbali wa mita 30 dakika nne kabla ya filimbi ya mwisho na kuipandisha Milan hadi nafasi ya 10 kwa kufikisha pointi 32 sawa na Lazio iliyo nafasi ya tisa.
Lakini Balotelli hakulishangilia bao hilo zaidi ya kukumbatiwa  na wachezaji wenzake.

No comments:

Post a Comment