Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Monday, July 15, 2013

MANCHESTER CITY YAFUNGWA NA SUPERSPORT MABAO 2- 0, PELLEGRINI NAE AANZA VIBAYA ACHAPWA BAO MBILI BILA MAJIBU


LEO Manchester City ikicheza na timu ya Supersport ya Africa kusini imefungwa bao 2-0 bila majibu huku timu hiyo inayoongozwa na kocha mpya Pellegrini imefungwa bila nyota wao kadhaa ambao bado wapo mapumzikoni mpaka sasa ambao ni David Silva, Sergio Aguero, Pablo Zabaleta na aliyesajiliwa hivi karibuni Jesus Navas

Matija Nastasic akiangalia mpira ukiishilia nyavuni baada ya Mame Niang kutupia nyavuni

Hata mchezaji wao mpya Fernandinho ameshindwa kuonesha makeke
Scott Sinclair akicheza uwanjani leo hii 

No comments:

Post a Comment