Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Monday, July 15, 2013

MAMA WA PROF JAY AAGWA NA KUZIKWA JANA KINONDONI

Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya, Joseph Haule akitoa heshima za mwisho kwa Mwili wa Marehem,u Mamayake aliyefariki dunia hivi karibuni kwa ajali ya gari Mbezi Mwisho jijini Dar es Salaam. Mazishi yanafanyika jioni hii Makaburi ya Kinondoni Dar es Salaam. Zoezi hilo lililofanyika nyumbani kwa Mwanae, lilihudhuriwa pia na wasanii mbalimbali wakiwepo wanasiasa.

 
 
 
   

 
 
 
 
 

No comments:

Post a Comment