Meli nyengine ya kubeba mafuta yashambuliwa katika mlango bahari wa Hormuz
-
Shirika la Uingereza la Operesheni za Biashara ya Baharini (UKMTO)
limetangaza kuwa meli nyengine ya kubeba mafuta katika Lango la Hormuz
imeshambuliwa
3 hours ago
Post a Comment