Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Saturday, April 13, 2013

ASERNAL YAIFUNGA NORWICH MABAO 3-1 NA KUJIKITA NAFASA YA TATU

Arsenal leo, imefanikiwa kuibuka Mshindi kwa Bao 3-1 dhidi ya Norwich City baada ya kutoka nyuma kwa Bao 1-0 na kupiga Bao 3 Dakika 7 za mwisho katika Mechi ya BPL, Barclays Premier League, ushindi ambao umewafanya wazipiku Chelsea na Tottenham na wao kukamata nafasi ya 3.Arsenal walifunga Bao 3 katika Dakika 7 za mwisho na kutoka nyuma kwa Bao 1-0 na kuibuka Washindi kwa Bao 3-1 Uwanjani kwao Emirates dhidi ya Norwich na kufanikiwa kukamata nafasi ya 3.

Lakini Norwich watalalamika sana kuhusu Bao la kusawazisha la Arsenal la Penati ambayo ilianza kwa Arsenal kupewa Kona isiyostahili na kisha Mshika Bendera kumuashiria Refa ni Penati baada ya Kona hiyo kupigwa kwa madai Mchezaji wa Norwich alimvuta Jezi Mchezaji wa Arsenal.Haiwezekani refa....

Kipa wa Norwich Mark Bunn akimfokea linesman juu ya utoaji penati, hata hivyo kipa amepewa kadi ya njano na penati hiyo kupigwa na kusawazisha kuwa 1-1Nini...Kumaliza kiutamu mwishoni, Wachezaji wa  Arsenal wakipongezana kwa kazi nzuri ya kuifunga  Norwich

Olivier Giroud akiangukia nyavuni na huku mchezaji Sebastien Bassong akijifunga bao
Jack Wilshere naye amecheza mechi ya leo  baada ya kupona majeraha aliyokuwa nayo
Aaron Ramsey akionesha mambo yake katika uwanja wa Arsenal Emirates Stadium jioni ya  leoGervinho na Robert Snodgrass wakichuanaMichael Turner akitupia kwa kichwaMichael Turner akiwaliza Arsenal katika uwanja wao wa  Emirates Stadium na kufanya 1-0Arsene Wenger akiangalia kwa machungu baada ya kufungwa bao na kuona dakika zikiyoyoma bila baoMikel Arteta ndiye aliyenyoosha mkwaju wa penati na kuifunga NorwichLukas Podolski akiiwasha Norwich bao la tatu na kufanya 3-1 dhidi ya Norwich

VIKOSI: 
Arsenal: Fabianski, Sagna (Oxlade-Chamberlain 80), Vermaelen, Koscielny, Gibbs, Arteta, Wilshere (Walcott 59), Ramsey, Cazorla, Giroud, Gervinho (Podolski 59).
Subs not used: Mannone, Monreal, Jenkinson, Coquelin.
Booked: Sagna.
Goals: Arteta 85 (pen), Bassong o.g. 88, Podolski 90.
Norwich: Bunn, Martin, Whittaker, Bassong, Turner, Johnson (Fox 62), Snodgrass, Howson, Tettey (Jackson 90), Holt, Kamara.
Subs not used: Camp, Garrido, R Bennett, Fox, E Bennett, Jackson, Becchio.
Booked: Snodgrass, Bunn.
Goal: Turner 56.

No comments:

Post a Comment