Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Saturday, February 23, 2013

LUIS SUAREZ AINGIA MATATIZONI TENA , NA BAADA YA KUMTIMBA TOMAS HUBOCAN

Controversial: Luis Suarez stepped on the back of Zenit's Tomas HubocanLuis Suarez usiku wa jana alikuwa nyota wa mchezo wa hatua ya timu nane za mwisho za michuano ya Ulaya (Europa League) ambapo alichangia kwa sehemu kubwa ushindi wa Liverpool wa mabao 3-1 dhidi ya Zenit lakini mshambuliaji huyo kwa mara nyingine tena ameingia katika gumzo lingine ambalo linaweza kumpelekea kuadhibiwa na shirikisho la soka barani Ulaya EUFA.
 
Licha ya ushindi huo wa Liverpool wa mabao 3-1 bado haikutosha kuisogeza mbele timu hiyo kufuatia matokeo hayo kufanya kuwepo matokeo ya sare ya mabao 3-3 lakini Zenit wakifaidika na bao la ugenini.
 
Hata hivyo wekundu hao wanaweza pia wakapata pigo lingine la pili endapo UEFA wataamua kumuadhibu Luis Suarez raia wa Uruguay kufuatia kumtimba katika kipindi cha Tomas Hubocan katika mchezo huo.

Controversial: Luis Suarez stepped on the back of Zenit's Tomas Hubocan

Luis Suarez akimtimba makalio Tomas Hubocan wa Zenit.






Controversial: Luis Suarez stepped on the back of Zenit's Tomas Hubocan

Mlinzi huyo alikuwa akiukimbia mpira kujaribu kuepuka mpira wa kurushwa upande wao na ndipo alipodondoka akiwa katika kukabiliana na Suarez ambaye kwa makusudi alimkanyaga kwa makusudi.

No comments:

Post a Comment