Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Tuesday, November 14, 2017

MBIO ZA DODOMA HALF MARATHON ZAFANA



Mshindi wa mbio ndefu za Tigo Dodoma Half Marathon, Dickson Marwa  akimaliza mbio hizo zilizofanyika mjini Dodoma hapo jana. 
Baadhi ya waheshimiwa wabunge wa bunge la Jamhuri ya Mungano wa Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja na medali na vyeti walivyotunukiwa kwa kushiriki mbio ndefu za Tigo Dodoma Half Marathon zilizofanyika katika jiji la Dodoma jana.



Naongoza kwa mfano na vitendo. Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Dr Hamisi Kigwangala akimalizamio ndefu za Tigo Dodoma Half Marathon zilizofanyika katika jiji la Dodoma jana. Mhe Dr. Kigwangala alishiriki katika mbio za kilometa 21.


Mshindi wa mbio za Tigo Dodoma Half Marathon (wanaume), Dickson Allan wa Mara akipokea zawadi zake za ushindi kutoka kwa Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe Juliana SHoza baada ya kumalizika kwa mbio hizo jijino Dodoma jana.


Mshindi wa mbio za Tigo Dodoma Half Marathon, Dickson Allan wa Mara akipngezwa na Meneja wa Tigo Kanda ya Kaskazini, Aidan Komba baada ya kumalizika kwa mbio hizo jijini Dodoma jana.

Mshindi wa mbio za Tigo Dodoma Half Marathon kwa wanawake, Noela Remi Khaday akipokea medali kutoka kwa Mkurugenzi wa Tigo, Kanda ya Kaskazini, Henry Kinabo  baada ya kumalizika kwa mbio hizo jijini Dodoma jana.

Mshindi wa mbio za Tigo Dodoma Half Marathon kwa wanawake, Noela Remi Khaday akipokea zawadi zake kutoka kwa Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe Juliana Shonza baada ya kumalizika kwa mbio hizo jijini Dodoma jana.

No comments:

Post a Comment