Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Tuesday, November 14, 2017

JUX, JANJARO, ASLAY WALIVYOPAGAWISHA MTWARA

Msanii Jux akitoa burudani kwenye tamasha la Tigo Fiesta lililofanyika uwanja wa Nangwanda Sijaona mjini Mtwara usiku wa kuamkia jumapili.

Janjaro akitumbuiza katika tamasha la Tigo Fiesta lililofanyika uwanja wa Nangwanda Sijaona mjini Mtwara usiku wa kuamkia jumapili.

Genevieve Mpangala akitumbuiza katika jukwaa la TIgo fiesta mapema usiku wa uamkia jumapili katika viwanja vya 

Aslay akiimba na mashabiki zake katika jukwaa la Tigo Fiesta mapema usiku wa kuamkia jumapili.

Chege akitumbuiza katika jukwaa la tigo mkoani Mtwara 

Msanii Snura akitumbuiza katika jukwaa la  Tigo Fiesta mapema usiku wa kuamkia jumapili.

Lulu diva akiwa katika jukwaa la Tigo fiesta amasha la Tigo Fiesta lililofanyika uwanja wa Nangwanda Sijaona mjini Mtwara usiku wa kuamkia jumapili.

Madee akitumbuiza katika jukwaa la Tigo Fiesta tamasha la Tigo Fiesta lililofanyika uwanja wa Nangwanda Sijaona mjini Mtwara usiku wa kuamkia jumapili.

No comments:

Post a Comment