Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Wednesday, June 14, 2017

YANGA YASAJILI BEKI WA JANG'OMBE ZANZIBAR

Beki wa Taifa ya Jang'ombe Abdallah Haji Shaibu 'Ninja' amesaini mkataba wa miaka 2 na mabingwa watetezi wa ligi kuu soka ya Tanzania bara klabu ya Yanga .
Mkataba huo Ninja amesaini mchana wa leo kwenye Makao makuu ya klabu hiyo iliyopo Jangwani Jijini Dar es salam.

No comments:

Post a Comment