Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Monday, June 16, 2014

WORLD CUP 2014: FRANCE 3 v HONDURAS 0, KARIM BENZEMA AIPA USHINDI UFARANSA USIKU HUU..AFUNGA BAO MBILI PEKE YAKE!

France acknowledge the fans after defeating Honduras 3-0 during the 2014 FIFA World Cup Brazil Group E match between France and Honduras at Estadio Beira-Rio on June 15, 2014 in Porto Alegre, Brazil.Wachezaji wa Ufaransa wakiwapongeza mashabiki na kujipongeza wao kwa kazi nzuri baada ya kuifunga timu ya Honduras bao 3-0 usiku huu.France's Karim Benzema celebrates after scoring his side's third goal3-0 ndivyo alivyowahitimishia Ufaransa usiku huu Karim Benzema dhidi ya Honduras.
Karim Benzema akishangilia bao lake la tatu baada ya kuifungia timu yake France usiku huu na hata lile la kwanza na la pili likisababishwa na yeye pia..Pongezi kwake katika mtanange huu ameibeba nchi yake......
Karim BenzemaKipa wa Honduras  N. Valladares alijifunga bao baada ya Karim Benzema kuachia shuti lililogonga posti na kurudi upande wa kipa na kipa kuumalizia mpira huo ndani ya lango lake katika kipindi cha pili dakika ya 48. Dakika ya 72 Karim Benzema amewaongezea tena bao Ufaransa na goli kuwa 3-0 dhidi ya Honduras.Goalkeeper Noel Valladares of Honduras scores an own goal, France's second, as he fumbles the ball over the line during the 2014 FIFA World Cup Brazil Group E match between France and Honduras at Estadio Beira-Rio on June 15, 2014 in Porto Alegre, Brazil.Kipa wa Ufaransa akijifunga bao hapa..Karim Benzema of France looks back as goalkeeper Noel Valladares of Honduras fails to save France's second goal during the 2014 FIFA World Cup Brazil Group E match between France and Honduras at Estadio Beira-Rio on June 15, 2014 in Porto Alegre, Brazil.Unachezea mimi...utajiju!!! 2-0 kwenye neti...France players celebrate their team's second goal during the 2014 FIFA World Cup Brazil Group E match between France and Honduras at Estadio Beira-Rio on June 15, 2014 in Porto Alegre, Brazil.Raha ya ushindi ndio hii...Wachezaji wa Ufaransa wakipongezana 
France wanapata bao kwa mkwaju wa penati na mchezaji wa Honduras W. Palacios anatolewa nje kwa kadi nyekundu baada ya kumsukuma mchezaji wa Ufaransa Pogba kwenye eneo hatari la kipa. Wilson Palacios of Honduras is shown a red card by referee Sandro Ricci during the 2014 FIFA World Cup Brazil Group E match between France and Honduras at Estadio Beira-Rio on June 15, 2014 in Porto Alegre, Brazil.
Karim Benzema anaifungia bao hilo kwa mkwaju wa penati katika dakika za mwishoni mwa kipindi cha kwanza katika dakika ya 45. Ufaransa wanaenda mapumziko wakiwa mbele ya bao 1-0 dhidi ya Honduras.Patashika za hapa na pale zilitokea baada ya mchezaji wa Honduras kumfanyia rafu mbaya PogbaKarim Benzema of France shoots and scores his team's first goal on a penalty kick during the 2014 FIFA World Cup Brazil Group E match between France and Honduras at Estadio Beira-Rio on June 15, 2014 in Porto Alegre, Brazil.Karim akichonga penati...na kuitangulia mapema Ufaransa bao 1-0......Karim Benzema of France celebrates scoring his team's first goal on a penalty kick during the 2014 FIFA World Cup Brazil Group E match between France and Honduras at Estadio Beira-Rio on June 15, 2014 in Porto Alegre, Brazil.Karim Benzema akishangilia bao alilolifunga kwa mkwaju wa penatiPaul Pogba of France battles for the ball with Wilson Palacios of Honduras during the 2014 FIFA World Cup Brazil Group E match between France and Honduras at Estadio Beira-Rio on June 15, 2014 in Porto Alegre, Brazil.Pogba chini Mchezaji wa Honduras Wilson Palacios huku mwamuzi akiwa na yeye!Patrice Evra of France lies on the field as teammates Antoine Griezmann (2nd L) and Karim Benzema look on with referee Sandro Ricci during the 2014 FIFA World Cup Brazil Group E match between France and Honduras at Estadio Beira-Rio on June 15, 2014 in Porto Alegre, Brazil.Mchezaji wa Ufaransa Evra chini...chali!!France pose for a team photo prior to the 2014 FIFA World Cup Brazil Group E match between France and Honduras at Estadio Beira-Rio on June 15, 2014 in Porto Alegre, Brazil. Kikosi cha FranceHonduras pose for a team photo prior to the 2014 FIFA World Cup Brazil Group E match between France and Honduras at Estadio Beira-Rio on June 15, 2014 in Porto Alegre, Brazil.Kikosi cha Honduras
Mashabiki wa France wakitokelezea usiku huu wakati wa timu yao wa Taifa ikichuana na HondurasFrance shirts hang in the dressing room prior to the 2014 FIFA World Cup Brazil Group E match between France and Honduras at Estadio Beira-Rio
VIKOSI:
France:
 Lloris, Debuchy, Varane, Sakho, Evra, Pogba, Cabaye, Matuidi, Valbuena, Benzema, Griezmann.
Subs: Ruffier, Cabella, Giroud, Mavuba, Mangala, Sagna, Digne, Sissoko, Remy, Koscielny, Schneiderlin, Landreau.

Honduras: Valladares, Beckeles, Bernardez, Figueroa, Izaguirre, Najar, Wilson Palacios, Garrido, Espinoza, Bengtson, Costly. 
Subs: Lopez, Osman Chavez, Montes, Juan Garcia, Jerry Palacios, Mario Martinez, Delgado, Oscar Garcia, Rony Martinez, Claros, Marvin Chavez, Escober.
Referee: Sandro Meira Ricci (Brazil)

No comments:

Post a Comment