Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Friday, June 17, 2016

RATIBA YA MECHI ZA MAN UNITED ZA LIGI KUU ENGLAND KWA MSIMU MPYA 2016/17

KWA WALE WADAU wakubwa wa Klabu kubwa Duniani Manchester United, kutolewa kwa Ratiba ya Msimu Mpya wa Ligi Kuu England kumewapa matumaini mapya kwa Msimu Mpya chini ya Meneja Mpya Jose Mourinho.

Wengi wao wamekuwa na matumaini mapya kabisa baada ya kuyapoteza tangu Sir Alex Ferguson astaafu na kumpata David Moyes aliefeli na kisha Louis van Gaal, ambae licha ya kutwaa FA CUP, alishindwa kuiwezesha Timu kucheza UEFA CHAMPIONS LIGI Msimu ujao.
Kabla ya Man United kuanza Msimu mpya wa Ligi Kuu England, watacheza Mechi 2 za Kirafiki huko China dhidi ya Borussia Dortmund na Manchester City na kisha kurejea Old Trafford kucheza na Everton kwenye Mechi maalum ya kumuenzi Kepteni wao Wayne Rooney hapo Agosti 3.

Msimu Mpya wa 2016/17 utaanza rasmi kwa Mechi ya kufungua pazia ya kugombea Ngao ya Jamii Uwanjani Wembley hapo Agosti 7 ambapo Man United, Mabingwa wa FA CUP, watapambana na Mabingwa wa England Leicester City.
Baada ya hapo, Agosti 13, Ligi Kuu itaanza rasmi kwa Man United kuwa Ugenini kucheza na Bournemouth na kisha kurudi Nyumbani Old Trafford kucheza na Southampton.
Septemba 10 ni Dabi ya Manchester ambapo Man City, chini ya Meneja Mpya Pep Guardiola, watatua Old Trafford kucheza na Man United
Pia, Man United, ambao Msimu huo mpya watacheza UEFA EUROPA LIGI, watasubiri kwa hamu Agosti 26 ambapo Droo ya Makundi ya Mashindano hayo itakapofanyika huko Monaco.

MAN UNITED - TAREHE MUHIMU:
22 JULAI:
Man United v Borussia Dortmund huko Shanghai Stadium, China
25 JULAI: [Ugenini] Man United v Man City huko Beijing National Stadium, China
3 AGOSTI: Mechi ya Kumuanzi Wayne Rooney v Everton Uwanjani Old Trafford
7 AGOSTI: Ngao ya Jamii v Leicester Wembley Stadium
13 AGOSTI: Mechi ya Ufunguzi Ligi Kuu Ugenini na Bournemouth
20 AGOSTI: Mechi ya Kwanza ya Ligi Old Trafford na Southampton
26 AGOSTI: Droo ya Makundi UEFA EUROPA LIGI
31 AGOSTI: Siku ya mwisho ya Dirisha la Uhamisho
10 SEPTEMBA: Dabi ya Manchester v Man City Old Trafford.
15 SEPTEMBA: Mechi za Makundi EUROPA LIGI zinaanza
21 SEPTEMBALeague Cup third round.
15 OKTOBA: Mechi Anfield na Liverpool
22 OKTOBA: Mourinho Stamford Bridge kwa mara ya kwanza kuivaa Chelsea.
26 DESEMBA: Mechi ya Boksingi Dei na Sunderland Old Trafford.
2 JANUARI: Mechi ya kwanza Olympic Stadium na West Ham.
7 JANUARI: FA Cup Raundi ya 3 Man United kuanza kutetea Taji
14 JANUARI: United v Liverpool Old Trafford
25 FEBRUARI: Dabi ya Manchester Etihad Stadium
26 FEBRUARI: Fainali ya Kombe la Ligi Wembley
21 MEI: Mechi ya mwisho ya Ligi Ugenini na Crystal Palace.
24 MEI: Fainali ya EUROPA LIGI huko Friends Arena, SJumatanoen, Sweden

27 MEI: Fainali ya FA CUP Wembley
LIGI KUU ENGLAND
Ratiba kamili:

Jumamosi AGO 13 Bournemouth [Ugenini]
Jumamosi AGO 20 Southampton [Nyumbani]
Jumamosi AGO 27 Hull City [Ugenini]
Jumamosi SEP 10 Manchester City [Nyumbani]
Jumamosi SEP 17 Watford [Ugenini]
Jumamosi SEP 24 Leicester City [Nyumbani]
Jumamosi OKT 1 Stoke City [Nyumbani]
Jumamosi OKT 15 Liverpool [Ugenini]
Jumamosi OKT 22 Chelsea [Ugenini]
Jumamosi OKT 29 Burnley [Nyumbani]
Jumamosi NOV 5 Swansea City [Ugenini]
Jumamosi NOV 19 Arsenal [Nyumbani]
Jumamosi NOV 26 West Ham United [Nyumbani]
Jumamosi DES 3 Everton [Ugenini]
Jumamosi DES 10 Tottenham Hotspur [Nyumbani]
Jumanne DES 13 Crystal Palace [Ugenini]
Jumamosi DES 17 West Bromwich Albion [Ugenini]
Jumatatu DES 26 Sunderland [Nyumbani]
Jumamosi DES 31 Middlesbrough [Nyumbani]
Jumatatu JAN 2 West Ham United [Ugenini]
Jumamosi JAN 14 Liverpool [Nyumbani]
Jumamosi JAN 21 Stoke City [Ugenini]
Jumatano FEB 1 Hull City [Nyumbani]
Jumamosi FEB 4 Leicester City [Ugenini]
Jumamosi FEB 11 Watford [Nyumbani]
Jumamosi FEB 25 Manchester City [Ugenini]
Jumamosi MAR 4 Bournemouth [Nyumbani]
Jumamosi MAR 11 Southampton [Ugenini]
Jumamosi MAR 18 Middlesbrough [Ugenini]
Jumamosi APR 1 West Bromwich Albion [Nyumbani]
Jumanne APR 4 Everton [Nyumbani]
Jumamosi APR 8 Sunderland [Ugenini]
Jumamosi APR 15 Chelsea [Nyumbani]
Jumamosi APR 22 Burnley [Ugenini]
Jumamosi APR 29 Swansea City [Nyumbani]
Jumamosi MEI 6 Arsenal [Ugenini]
Jumamosi MEI 13 Tottenham Hotspur [Ugenini]
Jumapili MEI 21 Crystal Palace [Nyumbani]**Tarehe zinaweza kubadilika

No comments:

Post a Comment