![](https://brentallica.files.wordpress.com/2012/06/060712-059.jpg)
![](http://a.espncdn.com/combiner/i/?img=/photo/2016/0210/r53333_1296x729_16-9.jpg&w=738&site=espnfc)
Lakini licha ya matatizo hayo, Man United Kibiashara imezidi kuimarika na Leo wametangaza Mapato yao kwa Mwaka yatagonga Pauni Milioni 500 hadi 510 kitu ambacho hakuna Klabu yeyote ya Uingereza imewahi kufikisha.
Mapato kwa Robo ya Pili ya Mwaka yamepanda na kufikia Pauni Milioni 133.8 ikiwa ni ongezeko la Asilimia 26.6 kutoka ya Mwaka uliopita wa Fedha.
![](http://a.espncdn.com/combiner/i/?img=/media/motion/ESPNi/2016/0209/int_160209_INET_FC_MAN_UNITED_PD41_WOODWARD/int_160209_INET_FC_MAN_UNITED_PD41_WOODWARD.jpg&w=738&site=espnfc)
![](http://a.espncdn.com/combiner/i/?img=/photo/2015/1208/r34267_2_1296x729_16-9.jpg&w=738&site=espnfc)
No comments:
Post a Comment