Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Tuesday, December 1, 2015

IVO MAPUNDA RASMI ATUA AZAM FC, APEWA MWAKA MMOJA

Kipa mkongwe nchini, Ivo Mapunda amejiunga na Azam FC. Ivo atapewa mkataba wa mwaka mmoja na Mtedaji Mkuu wa Azam FC, Saad Kawemba amesema kipa huyo amesajiliwa baada ya pendekezo la Kocha Stewart Hall. “Kocha alisema anataka kipa mzoefu nasi tukampa nafasi hiyo,” alisema. “Lakini mkataba hauwezi kuzidi mwaka mmoja kwa kuwa huenda Ivo atakuwa na mipango yake mingine,” alisema. Ivo aliomba kufanya mazoezi na kikosi cha Azam FC baada ya kuachwa na Simba katika hatua za mwisho kabisa za usajili baada ya uongozi wa Msimbazi, kusema alikuwa akiwasumbua licha ya kuwa wameishampa fedha

No comments:

Post a Comment