Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Thursday, December 31, 2015

BENTEKE AIPA USHINDI LIVERPOOL DHIDI YA SUNDERLAND

Benteke tayari ameishaipatia bao la kuongoza Liverpool kwa 1-0

BAO pekee la Christian Benteke limewapa Liverpool ushindi wa Bao 1-0 walipocheza huko Stadium of Light na Sunderland katika Mechi ya mwisho kabisa ya Ligi Kuu England.
Bao hilo lilipatikana Dakika 1 tu baada ya Kipindi cha Pili kuanza kwa Nathanial Clyne kupenyeza Mpira mbele na Adam Lallana kuugusa tu na kumkuta Christian Benteke aliefunga na kuipa Bao Liverpool.
Ushindi huu umewaweka Liverpool Nafasi ya 7 wakiwa Pointi sawa na Man United waliowazidi kwa ubora wa magoli.
Raha tupu!Reta akiutazama mpira kama upo ndani ya eneo la Kona kisawasawa!

No comments:

Post a Comment