
Wakati Kepteni Wayne Rooney ni mgonjwa, Martial anaungana na Majeruhi wengine Michael Carrick, Marouane Fellaini, Antonio Valencia na wa muda mrefu Luke Shaw.


Hata hivyo, habari njema kwa Man United ni kuwa Rooney na Martial wote wanatarajiwa kuwa fiti kwa Mechi ijayo ya UEFA CHAMPIONS LIGI dhidi ya PSV Eindhoven itakayochezwa Wiki ijayo Uwanjani Old Trafford.

No comments:
Post a Comment