
Mchezaji Bora wa Soka Duniani, Cristiano Ronaldo, yeye yupo kwenye 10 Bora akikamata Nafasi ya 8 wakati Mwaka Jana alikuwa Nafasi ya 7.
Kwenye 10 Bora ya Wanamichezo, Nambari Wani ni Tiger Woods mwenye thamani ya Dola Milioni 30.
Kwa upande wa 10 Bora ya Timu, Timu yenye thamani ya juu kabisa ni New York Yankees na Klabu za Soka ambazo zimo humo ni Real Madrid iliyo Nafasi ya 5 huku Nafasi za 6 hadi 8 ni Manchester United, Barcelona na Bayern Munich.

10 BORA-Wachezaji wa thamani ya juu:
1. Tiger Woods - Worth $30m
2. Phil Mickelson - $28m
3. LeBron James - $27m
4. Roger Federer - $27m
5. MS Dhoni - $21m
6. Usain Bolt - $18m
7. Kevin Durant - $18m
8. Cristiano Ronaldo - $16m
9. Rory McIlroy - $12m
10. Floyd Mayweather Jr - $11.5m

1. New York Yankees - $661m
2. Los Angeles Lakers - $521m
3. Dallas Cowboys - $497m
4. New England Patriots - $465m
5. Real Madrid - $464m
6. Manchester United - $446m
7. Barcelona - $437m
8. Bayern Munich - $375m
9. Los Angeles Dodgers - $373m
10. New York Knicks - $361m
No comments:
Post a Comment