Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Wednesday, October 28, 2015

ARSENAL WATUPWA NJE CAPITAL ONE CUP BAADA YA KUPOKEA KIPIGO CHA 3-0 TOKA KWA SHEFFIED WEDNESDAY

Joao alipofanya 2-03-0Ushindi!!3-0!!!Raha tupu kwa Meneja wa SheffiedMeneja wa Arsenal, Arsene Wenger akichanganyikiwa kwa kichapoShangwe kwa MashabikiSheffield Wednesday 3, Arsenal 0. Sam Hutchinson anaiwezesha timu yake bao la tatu kipindi cha pili dakika ya 51 na kuwafanya Arsenal waduwae na kujiuliza kwenye uwanja wa Hillsborough, EnglandRoss Wallace wa (Sheffield Wednesday) anaipatia bao la kuongoza katika dakika ya 27, Dakika ya 40 Lucas João alipachika bao la pili kwa kichwa mpira ukipigwa kwa kona na kupeana pasi kisha na kupiga kwa juu na Joao kufunga bao na kufanya 2-0 dhidi ya Arsenal. Nyumba imeungua!!Raha ya bao!!Kipa wa Arsenal Petr CechNi shida!Wachezaji wawili wa Arsenal Alex Oxlade-Chamberlain na Theo Walcott wameumia na kulazimika kutolewa nje mapema kipindi cha kwanza na timu ya Sheffied kupata mwanya wa kupata bao.Theo nae yale yale!!VIKOSI:
Arsenal starting XI

Cech, Debuchy, Chambers, Mertesacker, Gibbs, Flamini, Kamara, Oxlade-Chamberlain, Campbell, Iwobi, Giroud.

No comments:

Post a Comment