
Ferdinand, mwenye Miaka 36, alimpoteza Mkewe Rebecca aliezaa nae Watoto Watatu hapo Mei Mosi Mwaka huu baada kuugua kansa na kufariki.
Katika maisha yake ya Soka aliichezea Timu ya Taifa ya England mara 81 na pia kuwa Nahodha wake.

Akiwa na Man United, Ferdinand alitwaa Ubingwa wa England mara kadhaa na pia UEFA CHAMPIONS LIGI pamoja na Klabu Bingwa ya Dunia.
Akitangaza kustaafu, Ferdinand alitoa shukran kwa Mameneja na Wafanyakazi wa Klabu alizopitia pamoja na Familia yake na hasa Mkewe.


Ferdinand akipeana mkono na Kaka yake Anton walipokutana Uso kwa uso na Manchester United dhidi ya West Ham huko Upton Park mnamo mwaka 2005.


Siyo tu kwenye Ushindi Rio Ferdinand pia alipokuwa akiukosa ushindi Aliumia na hapa walitolewa nje England kwenye Kombe la Dunia

Cristiano Ronaldo mwezi wa tano mwaka 2007 huko Old Trafford walipoutwaa ubingwa na hapa Ferdinand alipata picha ya pamoja.

Ferdinand akiwa na Joe Cole mwaka 2008 hukoM oscow

Nemanja Vidic, Anderson, Patrice Evra, Edwin van der Sar, Carlos Tevez, Ferdinand, Brown, Ryan Giggs na Mikael Silvestre wakishangilia baada ya kuitwanga Chelsea huko Moscow mnamo mwaka 2008

Ferdinand akipozi na Ferguson pamoja na Giggs na Makombe yao mwaka 2008




Mwali!!




Mavuno!! Ligi Kuu na Klabu Bingwa


No comments:
Post a Comment