Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Saturday, May 2, 2015

JURGEN KLOPP NJIA NYEUPE ENGLAND KUTUA LIVERPOOL

Jurgen Klopp njia nyeupe LiverpoolItakuwa ni Vigumu kwa kocha wa Burussia Dortmund kukataa Ofa kutoka Liverpoo, Kocha Huyo mwenye miaka 47 ataondoka katika Klabu yake ya sasa na kuna habari kuwa atachukuliwa na Liverpool. Watu wa karibu na Kocha huyo wameanza kudai kuwa Kocha huyo atafurahia kutua England.Sasa ni Jurgen Klopp au Brendan Rodgers

No comments:

Post a Comment