Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Friday, March 27, 2015

JOSE MOURINHO AWAFUNIKA MAKOCHA WENZAKE KWA KITITA, VAN GAAL YUPO NAFASI YA TANO

Meneja wa Chelsea Jose Mourinho ndie yupo juu kwenye Listi ya Mameneja wa Soka wanaevuna fedha nyingi na kwenye 5 Bora pia wamo wenzake wa Ligi Kuu England Arsene Wenger wa Arsenal na Louis van Gaal w Manchester United. Orodha kamili ni kama ifuatavyo:
1. Jose Mourinho (Chelsea) - £13.2m Kipato kwa Mwaka
2. Carlo Ancelotti (Real Madrid) - £11.4m
3. Pep Guardiola (Bayern Munich) - £11.2m
4. Arsene Wenger (Arsenal) – £8.3m
5. Louis van Gaal (Manchester United) - £7.3m
6. Fabio Capello (Russia) - £6.6m
7. Andre Villas-Boas (Zenit St Petersburg) - £6.25m
8. Sven-Goran Eriksson (Shanghai) - £5.9m
9. Jurgen Klopp (Borussia Dortmund) - £5.3m
10. David Moyes (Real Sociedad) - £5.1m
10. Laurent Blanc (Paris Saint Germain) - £5.1m
10. Rafael Benitez (Napoli) - £5.1m
13. Walter Mazzarri (Alikuwa Inter Milan) - £5m
14. Roberto Di Matteo (Schalke) - £4.4m
15. Luis Enrique (Barcelona) - £4m 


15. Luciano Spalletti (Alikuwa Zenit St Petersburg)- £4m
17. Antonio Conte (Italy) - £3.9m
18. Manuel Pellegrini (Manchester City) - £3.8m
19. Brendan Rodgers (Liverpool) - £3.6m
20. Roberto Mancini (Inter Milan) - £3.5m

No comments:

Post a Comment