Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Saturday, February 28, 2015

MANCHESTER UNITED KUCHEZA NA SUNDERLAND OLD TRAFFORD BILA STRAIKA WAO ROBIN VAN PERSIE.


Manchester United captain Wayne Rooney speaks with Jonny Evans ahead of the game at Old Trafford
Kepteni wa Manchester United Wayne Rooney akiteta jambo na Jonny Evans juu ya Mchezo huo ambao wote wamepeana hamasa ya kuibuka na Ushindi kesho dhidi ya Sunderland.Radamel Falcao trains at Carrington as Manchester United prepare to play Sunderland in the Premier League at Old Trafford
Radamel Falcao akijifua kwenye Uwanja wa Carrington, Manchester United wakijiandaa kuikaribisha Sunderland ngland, Premier League mchezo utakaopigwa kwenye Uwanja wa Old Trafford
Louis van Gaal admits he doesn't know when Dutch striker Robin van Persie will return to action
Meneja Louis van Gaal amezungumza ila hakuweka wazi juu Robin van Persie atakaa nje muda gani ila amesema ni wiki kadhaaVan Gaal
Robin van Persie leaves the Liberty Stadium on crutches and with his right leg in a protective boot 
Robin van Persie  aliumia wiki iliyopita wakati  wa Mchezo wao na Swansea City huko kwenye Uwanja wa Liberty, Aliumia Enka.

Michezo mitano ijayo ya MANCHESTER UNITED
February 28: Sunderland (nyumbani)
March 4: Newcastle (Ugenini)
March 9: Arsenal (Nyumbani)
March 15: Tottenham (Nyumbani)
March 22: Liverpool (Ugenini)
Van Gaal speaks to the media during a press conference ahead of United's game against Sunderland
Van Gaal akiteta kwenye Vyombo vya Habari juu ya mchozo wao na  Sunderland kesho jumamosi 28
Goalkeepers David de Gea (left) and Victor Valdes (right) in action during a training session on Friday
Makipa: David de Gea na Victor Valdeswakiteta jambo hii leo wakati wa mazoezi
Luke Shaw (left) and Juan Mata (right) are expected to line up against the Black Cats at Old Trafford
Luke Shaw na Juan Mata wote wanategemewa kucheza mchezo wao wa kesho Old Trafford dhidi ya Sunderland
Marcos Rojo (left) warms up as team-mates Daley Blind and Wayne Rooney observe
Marcos Rojo na Daley Blind pamoja na Wayne Rooney kesho kuonesha makeke yao

Van Pesrsie aliumia wakati wa Mchezo na Swansea City walipopewa kichapo cha bao 2-1


Van Persie akijiuguza kwa mkono alipoumia wakati wa Mchezo Ugenini dhidi ya Swansea City.
Van Persie hakuweza kuendelea na Mchezo huo..Robin Van Persie lies injured during the match against Swansea CityVan Persie chini akilalamika baada ya kuumia kwenye Mchozo uliopigwa huko Liberty kwa Vijana Swansea City.

No comments:

Post a Comment