Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Saturday, February 28, 2015

WAMILIKI WA BLOG KUKUTANA LEO SERENA

Mwenyekiti wa TBN, Joachim Mushi akiongea na waandishi wa habari kuhusu hafla ya wamiliki wa blog Tanzania inayofanyika leo Serena Hotel

Afisa Uhusiano wa NMB, Doris Kilale akifafanua jambo kwa wandishi. NMB ni moja ya wafadhili wa shughuli hii

"Tunakusikiliza" Waandishi wakiwa makini kusikiliza

Wapiga picha wakipiga picha


Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali wakimsikiliza mwenyekiti wa Mpito wa mtandao wa wamiliki wa blog Tanzania (TBN) kwenye ukumbi wa habari maelezo jana

No comments:

Post a Comment