![]() |
Nafuu ya Luis van Gaal baada ya Carrick kuthibitika kurudi |
Kocha wa Man United Louis Van gaal amesema kiungo wake MICHAEL CARRICK anajiandaa
kurudi dimbani.
Kiungo huyo wa miaka 33 alikuwa nje ya uwanja kutokana na kusumbuliwa
na maumivu ya kifundo cha mguu.
![]() |
Michael Carrick kurejea uwanjani |
Kukosekana
kwake kumesabisha kuyumba kwa kikosi cha kocha huyo hasa sehemu kiungo cha kati.
Akizungumza
katika mkutano wa waandishi wa habari kocha
Louis amesema kukosekana kwa kiungo huyo mkabaji kulisababisha kutofanya vizuri
na hasa ikizingatiwa ana uzoefu katika soka.
No comments:
Post a Comment