Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Thursday, October 9, 2014

Nafuu kwa Luis Van Gaal kufuatia kurejea dimbani kwa Michael Carrick


Nafuu ya Luis van Gaal baada ya Carrick kuthibitika kurudi
Kocha wa Man United Louis Van gaal amesema kiungo wake MICHAEL CARRICK anajiandaa kurudi dimbani.
Kiungo huyo wa miaka 33 alikuwa nje ya uwanja kutokana na kusumbuliwa na maumivu ya kifundo cha mguu.
Michael Carrick kurejea uwanjani
Kukosekana kwake kumesabisha kuyumba kwa kikosi cha kocha huyo hasa sehemu kiungo cha kati.
Akizungumza katika mkutano wa waandishi wa habari  kocha Louis amesema kukosekana kwa kiungo huyo mkabaji kulisababisha kutofanya vizuri na hasa ikizingatiwa ana uzoefu katika soka.

No comments:

Post a Comment