Moussa
Sissoko alipowachambua mabeki wa City na Kuwachoma bao la pili na
kuwapoteza zaidi City katika kipindi cha pili dakika ya 75 na kuwabwaga
nje Man City amabo walikuwa Mabingwa Watetezi wa Capital One Cup.Ushindi
huu wa Newcastle United unawafanya waendelee katika hatua inayofuata
huku Mabingwa wa Ligi kuu England Manchester City safari yao inaishia
hapo Etihad. Hapo hapo mchezaji wao matata David Silva aliumia mapema
kipindi cha kwanza na kuondolewa baada ya kuumia mguu wake. Katika
Mchezo mwingine Southampton wameifunga Stoke City bao 3-2. Spurs nao
wameshinda bao 2-0.1-0,
Newcastle United wanaongoza kwa bao lililofungwa mapema na Rolando
Aarons dakika ya 6 Etihad. Bao la pili lilifungwa dakika ya 75 na Moussa
Sissoko na kufanya 2-0 dhidi ya Man City na mbele ya Mashabiki 40,752.
Newcastle sasa watacheza na Tottenham kwenye Robo Fainali.Dakika
ya 6 kipindi cha kwanza Newcastle walipata bao la kuongoza kwa kufanya
1-0 Bao lililofungwa na Aarons baada ya kuwapita mabeki wa Man City.Jovetic kaanza.
No comments:
Post a Comment