Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Friday, September 19, 2014

WAYNE ROONEY ASHEHEREKEA MIAKA 10 OLD TRAFFORD

 

http://i3.mirror.co.uk/incoming/article3064065.ece/alternates/s1227b/Wayne-Rooney.jpgWayne RooneySTAA wa Manchester United Wayne Rooney amemmwagia sifa Meneja wake wa zamani Sir Alex Ferguson kwa kumwita ni ‘Mtu wa hodari’.
Rooney, ambaye aliripotiwa kugombana na Sir Alex Ferguson Mwaka mmoja uliopita hasa baada ya kutua kwa Robin van Persie Klabuni hapo, sasa ametimiza Miaka 10 akiwa na Man United na amesheherekea kwa kumpongeza Ferguson kwa kumpa nafasi kucheza Old Trafford ikiwa ni dalili ya wazi ulio uhusiano wao ‘uliopoa’ sasa umerudi tena.

Rooney aliiambia MUTV, Kituo cha TV cha Man United: “Yeye ni Mtu muhimu sana. Ninamshukuru kwa kuniamini na kunichukua kutoka Everton. Sir Alex ndie Meneja bora kupita yeyote na kwa yeye kutambua kipaji changu na kutaka kujiunga nae ni heshima kubwa!”
Aliongeza: “Hakika alinisaidia sana mimi na wote. Alitukusanya Vijana na kutuingiza kwenye Kikosi na kutufanya tuwe Klabu Bingwa Duniani. Nashukuru kwa kila kitu alichotufanyia.”
Rooney, ambae alisaini Mkataba wa Miaka Mitano na Nusu Mwezi Februari, amesema yeye atamaliza Mkataba huo akiwa hapo hapo Man United.

Amesema: “Nategemea hilo. Nimesaini Mkataba wa muda mrefu na nategemea baada ya Miaka Mitano

LIGI KUU ENGLAND
RATIBA:
Jumamosi Septemba 20
14:45 QPR v Stoke
17:00 Aston Villa v Arsenal
17:00 Burnley v Sunderland
17:00 Newcastle v Hull
17:00 Swansea v Southampton
19:30 West Ham v Liverpool
Jumapili Septemba 21
15:30 Leicester v Man United
15:30 Tottenham v West Brom
18:00 Everton v Crystal Palace
18:00 Man City v Chelsea
Jumamosi Septemba 27
14:45 Liverpool v Everton
17:00 Chelsea v Aston Villa
17:00 Crystal Palace v Leicester
17:00 Hull v Man City
17:00 Man United v West Ham
17:00 Southampton v QPR
17:00 Sunderland v Swansea
19:30 Arsenal v Tottenham
Jumapili Septemba 28
18:00 West Brom v Burnley
Jumatatu Septemba 29
22:00 Stoke v Newcastle

No comments:

Post a Comment