Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Monday, January 20, 2014

MPAMBANO WA MASUMBWI WAFANYIKA KILUVYA HUKU MSAGA SUMU NA KANGA MOJA WAKITOA BURUDANI


Mabondia Robinson Msimbe kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Ayubu Ula wakati wa mpambano wao uliofanyika Kiluvya madukani katika ukumbi wa Shimbikati Ula alishinda kwa point mpambano

Msanii Selemani Jabir 'Msagasumu' akitoa burudani katika ukumbi wa Shimbikati Kiluvya kabla ya mpambano wa masumbwi uliofanyika katika ukumbi huo jana
 MABONDIA WAKIONESHABA UBABE WAKATI WA MPAMBANO ULIOFANYIKA KILUVYA MADUKANI KATIKA UKUMBI WA SHIMBIKATI
Msanii Selemani Jabir 'Msagasumu' akitoa burudani katika ukumbi wa Shimbikati Kiluvya maduka mawili kabla ya mpambano wa masumbwi uliofanyika katika ukumbi huo jana kulia ni mmoja ya nmashabiki wake


Shabiki ambaye akuweza kujizuia baada ya kuona  kanga moja wakifanya vitu vyao na kuamua kwenda kutunza kwa stail ya aina yake kama anavyoonekana katika picha

SHABIKI AKIMTUNZA MNERNGUAJI WA KANGA MOJA

KANGA MOJA WAKIFANYA VITU VYAO

MASHABIKI WAKIMSHANGILIA BONDIA WAO ALIYESHINDA

MPAMBANO WA MASUMBWI UKIENDELEA

No comments:

Post a Comment