
Mchezaji wa Chelsea Kapteni John Terry kidogo aifunge Newcastle!!

Kikosi kilichoanza cha Chelsea.
Chelsea leo ikicheza Ugenini imenyukwa
bao mbili na timu ya Newcastle walipocheza leo kwenye uwanja wao wa
nyumbani. Mabao ya Newcastle yote yamefungwa kipindi cha pili katika
dakika 68 kupitia mchezaji Yoan Gouffran baada ya kupigwa frii kiki na
Yoan kujitisha kichwa safi na kufunga bao hilo mbele ya mabeki wa
Chelsea. Bao la pili ni la jitihada baada ya Loïc Remy kufunga bao hilo
dakika za majeruhi dakika ya 89 kwa kupewa pasi safi na kuachia shuti
lililogonga mwamba na kuishilia kwenye lango la Chelsea.

Samuel Eto'o akililia kupewa penati baada mchezaji Yanga-Mbiwa kuonekana kama ameunawa na refa kuseha hakuna

Mchezaji Gouffran akishangilia bao lake kipindi cha pili.
Wachezaji wa Newcastle wakishangilia bao kwa kupongezana kwa aina yake!!

Kocha wa Newcastle Alan Pardew akishangilia moja ya bao kwa timu yake kufunga

Torres kikabwa na mchezaji wa Newcastle

Tiote
na Ramires wakikimbilia mpira, Kipindi cha pili dakika ya 53 nafasi ya
Tiote imechukuliwa na Anita baada ya Tiote kuondolewa.
No comments:
Post a Comment