![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2013/10/01/article-2439963-186D7D1500000578-402_634x481.jpg)
Wayne Rooney akiteleza kuchukua mpira kwa Ashley Young kwenye mazoezi yao kabla ya kuelekea kucheza na Shakhtar Donetsk Ukraine
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2013/10/01/article-2439963-186D925D00000578-532_634x378.jpg)
Rooney ambaye anachezea timu ya Taifa ya Uingereza anatarajiwa kucheza
kesho Jumatano kwenye maudiano na timu ya Ukraine -Shakhtar Donetsk
Jumanne Oktoba 1 na Jumatano Oktoba 2 Mashindano ya
UEFA CHAMPIONS LEAGUE, UCL, ambayo sasa yapo hatua za Makundi yakiwa na
Makundi 8 ya Timu 4 kila moja ambako Timu 2 za juu husonga na kuingia
Raundi ya Mtoano ya Timu 32, yataingia Mechi zake za pili baada ya
kuanza hapo Septemba 17.
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2013/10/01/article-2439963-186D7BDB00000578-795_634x464.jpg)
Robin van Persie chini akicheza na mchezaji mwenzake Young kwenye mazoezi yao kabla ya kuelekea Ukraine
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2013/10/01/article-2439963-186D5A6300000578-362_634x456.jpg)
Rooney akiteta na kucheka na kocha Phil Neville
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2013/10/01/article-2439963-186D53D900000578-564_634x355.jpg)
Van Persie akiongoza wenzake kwenye mazoezi yao wakijiandaa na Uefa Champions League
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2013/10/01/article-2439963-186D632600000578-654_634x459.jpg)
Marouane Fellaini akionesha manjonjo yake wakati akipasha kwenye mazoezi
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2013/10/01/article-2439963-186D8E4B00000578-876_634x422.jpg)
Kipa David de Gea nae alikuwa miongoni mwao akipasha
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2013/10/01/article-2439963-186D5B0D00000578-637_634x406.jpg)
Van Persie akijigamba na kuja kuziona nyavu za Donetsk kesho jumatano wakati wa marudiano
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2013/10/01/article-2439963-186D607400000578-912_634x442.jpg)
Kagawa na Chris Smalling wakipiga danadana kwenye mazoezi
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2013/10/01/article-2439963-186D43D400000578-758_634x422.jpg)
Nani (katikati) ni mchezaji anayetarajiwa kupata namba kesho Ukraine
Kocha mkuu Moyes kuwaongoza United Ukraine kesho jumatano
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2013/10/01/article-2439963-186DBE1600000578-211_634x415.jpg)
Ferdinand akichota mpira kutoka kwa Rooney wakati wa mazoezi yao kabla ya kuelekea Ukraine leo hii
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2013/10/01/article-2439963-186DB30000000578-774_634x486.jpg)
Midfielders Michael Carrick na Tom Cleverley wakipasha
Ni Ashley Young na Moyes hapa..
Kazi ya Ziada inatakiwa hapa: Kocha Moyes kumtumia Danny Welbeck kwenye kukaba
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2013/10/01/article-2439963-186D672B00000578-884_634x373.jpg)
Ryan Giggs ni mmoja wa viongozi wa kuwaongoza United pamoja na kocha mkuu Moyes
Jumatano 2 Oktoba 2013
FC Shakhtar Donetsk v Manchester United FC
Bayer 04 Leverkusen v Real Sociedad de Fútbol
Juventus v Galatasaray A.Ş.
Real Madrid CF FC København
Paris Saint-Germain v SL Benfica
RSC Anderlecht v Olympiacos FC
Manchester City FC v FC Bayern München
PFC CSKA Moskva v FC Viktoria Plzeň
No comments:
Post a Comment