Mario Mandzukic akiwapelekesha wachezaji wa City na
kuipa ushindi Bayern wa 2-1 dhidi ya City waliofunga bao wakiwatangulia
wenzao.
Bayern Munich wakicheza
kwao Jijini Munich wametwaa Audi Cup baada ya kutoka nyuma kwa Bao 1-0 na
kuifunga Manchester City Bao 2-1.
Man City, waliotangulia kufunga, walipata Bao lao kupita Alvaro Negredo lakini Bao za Thomas Müller na Mario Mandzukic zikapindua gemu na kuipa ushindi Bayern Munich.
Bao la Negredo lilifungwa baada ya Dakika 60 na kudumu Dakika 5 tu wakati Muller aliposawazisha kwa Penati baada Pablo Zabaletta kuunawa Mpra.
Baadae Mario Mandzukic akafunga Bao la pili na la ushindi kwa kichwa kufuatia krosi ya Muller.
Katika Mechi ya awali ya kusaka Mshindi wa Tatu, AC Milan iliifunga Sao Paulo Bao 1-0 kwa Bao la Kingsley Boateng, Chipukizi kutoka Ghana.
Bayern Munich: Neuer, Lahm (Weiser 90), Dante, Martínez, Alaba, Thiago (Mandzukic 57), Schweinsteiger, Kroos (Rafinha 59), Robben (Shaqiri 57), Ribéry, Müller,
Goals: Muller (pen) 65, Mandzukic 72.
Manchester City: Pantilimon, Zabaleta, Kompany, Boyata, Clichy, Fernandinho, Nasri, Milner, Barry (Toure 46), Jovetic (Navas 46), Negredo (Dzeko 75).
Goals: Negredo 61.
![Battle: Bayern's Toni Kroos holds off a challenge from new City signing Alvaro Negredo](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2013/08/01/article-2382714-1B1AB4D9000005DC-544_634x539.jpg)
Man City, waliotangulia kufunga, walipata Bao lao kupita Alvaro Negredo lakini Bao za Thomas Müller na Mario Mandzukic zikapindua gemu na kuipa ushindi Bayern Munich.
Bao la Negredo lilifungwa baada ya Dakika 60 na kudumu Dakika 5 tu wakati Muller aliposawazisha kwa Penati baada Pablo Zabaletta kuunawa Mpra.
Baadae Mario Mandzukic akafunga Bao la pili na la ushindi kwa kichwa kufuatia krosi ya Muller.
Katika Mechi ya awali ya kusaka Mshindi wa Tatu, AC Milan iliifunga Sao Paulo Bao 1-0 kwa Bao la Kingsley Boateng, Chipukizi kutoka Ghana.
![On the run: Dedryck Boyata chases down Bayern Munich's French winger Franck Ribery](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2013/08/01/article-2382714-1B1AC512000005DC-698_634x488.jpg)
Dedryck Boyata akimkimbiza mchezaji Winga wa Bayern
Munich Franck Ribery hapa...
![Thwarted: Manuel Neuer was quick off his line to deny Samir Nasri](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2013/08/01/article-2382714-1B1AE5A7000005DC-471_634x416.jpg)
Mlinda mlango Manuel Neuer akiwa kwenye patashika na
Samir Nasri
![Ahead: Alvaro Negredo celebrates giving Manchester City the lead after the hour mark](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2013/08/01/article-2382714-1B1AEDEC000005DC-276_634x409.jpg)
Mchezaji mpya wa City Alvaro Negredo akifurahia hapa
baada ya kuipachikia bao City na kuwa mbele ya bao moja
![Equaliser: Thomas Muller slots home his penalty to bring Bayern Munich level](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2013/08/01/article-2382714-1B1AF0F7000005DC-935_634x444.jpg)
Thomas Muller akifunga mkwaju wa penati
VIKOSI:
Bayern Munich: Neuer, Lahm (Weiser 90), Dante, Martínez, Alaba, Thiago (Mandzukic 57), Schweinsteiger, Kroos (Rafinha 59), Robben (Shaqiri 57), Ribéry, Müller,
Goals: Muller (pen) 65, Mandzukic 72.
Manchester City: Pantilimon, Zabaleta, Kompany, Boyata, Clichy, Fernandinho, Nasri, Milner, Barry (Toure 46), Jovetic (Navas 46), Negredo (Dzeko 75).
Goals: Negredo 61.
No comments:
Post a Comment