Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Wednesday, April 3, 2013

LADY JAY DEE AFUNGUKA ZAIDI JUU YA KITUO FULANI CHA RADIO KUTOPIGA NYIMBO ZAKE SAFARI HII AWATAJA WASANII WALIOKATAZWA KUFANYA SHOO NYUMBANI LOUNGE, KISA INAMILIKIWA NA YEYE


Kama siku mbili tatu hizi mwanadada  Lady Jay Dee (Jide) ambae anameachia kibao chake chaa Joto Hasira akiwa na Prof. Jay ameonekana akifunguka na kutoa ya moyoni, habari kubwa ikiwa na  nyimbo zake kutopigwa na kituo flani cha radio, leo amefunguka zaidi na kutaja wasanii wawili ambao walikatazwa kufanya show Nyumbani Lounge sehemu ambayo inamilikiwa na Jide.

ji
Ben Pol (IamBenPol)
jiii

No comments:

Post a Comment